Friday 14 September 2012

SERIKALI YATONYWA

Programme Manager kutoka Zambia Bw, Bou Muchaba Iwa akisikiliza kwa makini katika mkutano huo

Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Muungano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (TANGO) akizungumza na wadau mbalimbali lambapo ameishauri serikali kuongeza  uwekezaji    katika huduma za jamii  nchini kuliko kuwekeza zaidi kwenye uchumi.Hayo yamesemwa leo jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Muungano wa mashirika yasiyo ya serikali (TANGO),Bw.Ngunga Tepani katika mkutano wa wadau wa kupinga umasikini (SADC Regional Poverty Observatory) yaliyofanyika katika Hoteli Ya Blue Pearl.


No comments: