Thursday 6 September 2012

NAIBU WAZIRI MKUU WA CHINA ALIPOTEMBELEA TAZARA LEO,


Naibu Waziri mkuu wa China Bw, Hai Liang Yu, akisalimiana na Mmoja wa maafisa wa Tazara mara baada ya kuwasili TAZARA leo.

Naibu Waziri mkuu wa China Bw, Hai Liang Yu, akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Uchukuzi nchini Tanzania Harisson  Mwakyembe wapili kulia walipotembelea makao makuu ya Reli ya Tazara leo hasubui.

Balozi wa China nchini Tanzania Bw, Lu You Qing (kushoto) akimuelekeza Naibu waziri wa China Hai Liang Yu wapili kutoka kulia pamoja na maafisa wengine namna TAZARA inavyofanya kazi.

Balozi wa China nchini Tanzania Bw, Lu You Qing (kushoto) akisalimiana na Naibu Waziri mkuu wa China  Hai Liang Yu, mara baada ya kuwasili katika makao makuu ya Reli ya Tazara leo hasubui.

No comments: